Monday, February 10, 2014

Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, George Boniface Tuguluvala Simbachawene atembelea Shirika la Nyumba la Taifa



Frank Mbapila, Msanifu wa Miradi ya Shirika la Nyumba la Taifa (wa kwanza kulia) akiwa pamoja na akina Haikamen Mlekio, Mratibu wa Miradi ya Shirika la Nyumba la Taifa (wa kwanza kushoto) na wenzao wakibadilishana mawazo kabla ya Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, George Boniface Tuguluvala Simbachawene kuwasili makao makuu ya shirika leo mchana.
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, George Boniface Tuguluvala Simbachawene akiwasili makao makuu ya shirika leo mchana
 Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, George Boniface Tuguluvala Simbachawene akizungumza na baadhi ya wafanyakazi wa Shirika la Nyumba la Taifa makao makuu ya shirika leo mchana.
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, George Boniface Tuguluvala Simbachawene akifuatilia presentation iliyokuwa ikitolewa na Mkurugenzi wa Ubunifu Issack Peter (hayuko pichani) leo mchana.
 Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, George Boniface Tuguluvala Simbachawene akifuatilia presentation iliyokuwa ikitolewa na Mkurugenzi wa Ubunifu Issack Peter (hayuko pichani) leo mchana.
 Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, George Boniface Tuguluvala Simbachawene akiwasili makao makuu ya shirika leo mchana, wa kwanza kulia ni Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Hamad Abdallah ambaye pia ni Mkurugenzi wa Usimamizi wa Milki wa Shirika la Nyumba la Taifa.
 Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, George Boniface Tuguluvala Simbachawene akisalimiana na baadhi ya wafanyakazi wa Shirika la Nyumba la Taifa makao makuu ya shirika leo mchana.
 Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, George Boniface Tuguluvala Simbachawene akizungumza na baadhi ya wafanyakazi wa Shirika la Nyumba la Taifa makao makuu ya shirika leo mchana.
 Mkurugenzi wa Ubunifu Issack Peter akiendelea kutoa presentation ya namna miradi ya Shirika inavyoendeshwa.
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, George Boniface Tuguluvala Simbachawene akifurahia jambo baada ya presentation iliyokuwa ikitolewa na Mkurugenzi wa Ubunifu Issack Peter (hayuko pichani) leo mchana.

No comments:

MAMA NEEMA MWIGULU AHIMIZA TAASISI KUUNGA MKONO JUHUDI ZA SERIKALI KUPITIA UWAJIBIKAJI KWA JAMII

Mwenza wa Waziri Mkuu, Mama Neema Mwigulu Nchemba, amehimiza taasisi za umma na binafsi kuendelea kuunga mkono juhudi za Serikali katika kub...