Monday, February 10, 2014

Mchumi wa CCM, Wilaya ya Mbeya Vijijini, Shadrack Mwanjuguja Akiwa akunjwa na vijana baada ya kutokea vurugu jana asubuhi katika Kijiji cha Ruanda wakati wa uchaguzi mdogo wa udiwani Kata ya Santilya, Mbeya Vijijini



Mchumi wa CCM, Wilaya ya Mbeya Vijijini, Shadrack Mwanjuguja akidhibitiwa na vijana baada ya kutokea vurugu jana asubuhi katika Kijiji cha Ruanda2 wakati wa uchaguzi mdogo wa udiwani Kata ya Santilya, Mbeya Vijijini. Picha na Godfrey Kahango 

No comments:

🔴🔴TABORA ZOO YAENDELEA KUNG'ARA KAMA KITOVU CHA ELIMU, BURUDANI NA UTALII WA NDANI

Na Mwandishi wetu, Tabora. Bustani ya Wanyamapori Tabora (Tabora Zoo) imeendelea kujipambanua kama kivutio muhimu cha elimu na burudani jiji...