Monday, February 10, 2014

Mchumi wa CCM, Wilaya ya Mbeya Vijijini, Shadrack Mwanjuguja Akiwa akunjwa na vijana baada ya kutokea vurugu jana asubuhi katika Kijiji cha Ruanda wakati wa uchaguzi mdogo wa udiwani Kata ya Santilya, Mbeya Vijijini



Mchumi wa CCM, Wilaya ya Mbeya Vijijini, Shadrack Mwanjuguja akidhibitiwa na vijana baada ya kutokea vurugu jana asubuhi katika Kijiji cha Ruanda2 wakati wa uchaguzi mdogo wa udiwani Kata ya Santilya, Mbeya Vijijini. Picha na Godfrey Kahango 

No comments:

Oryx Gas Waja na Promosheni Maalum ya Mfungo

  NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM KATIKA kuendelea kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia, Kampuni ya Oryx Gas imezindua kampeni...