Friday, February 21, 2014

MAKAMU WA CCM BARA MH.PHILIP MANGULA AKUTANA NA WATANZANIA WAISHIO BEIJING CHINA

Makamu wa CCM bara Philip Mangula akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya watanzania wanaosoma na kufanya kazi nchini China katika mji wa Beijing baada ya kukutana nao kwa kikao kifupi katika kujadili mstakabali wa wasomi katika ujenzi wa taifa lao.Hii ilifanyika baada ya ziara fupi nchini aliyofanya Mangula mwanzoni wa wiki hii.

Baadhi ya watanzania waishio nchini wakiwa katika picha ya pamoja na Makamu wa CCM, bara Philip Mangula
baada ya kikao cha kujadili mambo kadhaa ya mstakabali wa nchi yao katika ziara fupi aliyofanya mwanzoni wa wiki hii. 

Mangula akibadilishana mawazo wadau Joel Kayombo na Shauku Kihombo ambao wapo nchini humo kwa masomo  katika moja ya vyuo vinavyopatikana mjini Beijing China 

                     PICHA ZOTE NA MDAU SHAUKU KIHOMBO 

No comments: