Monday, February 17, 2014

Mtoto wa Aliyekua Waziri wa Fedha na Uchumi Marehemu William Mgimwa,Godfrey Mgimwa Achukufua Fomu Rasmi Za Uteuzi za Kuwania Ubunge wa Jimbo la Kalenga Kupitia CCM

Mtoto wa Aliyekua Waziri wa Fedha na Uchumi Marehemu William Mgimwa  Godfrey Mgimwa (wa pili kushoto) akisindikizwa na wana CCM wenzake kwenda kuchukua fomu za kuwania ubunge wa jimbo la Kalenga kwa Msimamizi wa Uchaguzi Wilaya ya Iringa
Msimamizi wa Uchaguzi wa Wilaya ya Iringa,Pedenciana Kisaka akimkabidhi fomu za uteuzi za kuwania ubunge wa jimbo la Kalenga, Mtoto wa Aliyekua Waziri wa Fedha na Uchumi Marehemu William Mgimwa Ambaye ni Mgombea wa CCM Godfrey Mgimwa jana. Picha zote na Frank Leonard

No comments:

NGORONGORO SAKO KWA BAKO NA TAASISI ZA ELIMU KUTANGAZA VIVUTIO VYA UTALII NA KUIMARISHA ELIMU YA UHIFADHI

  Monduli, Arusha – Januari 30, 2026 Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) imeendelea kuthibitisha dhamira yake ya kuwa mstari wa mbele ...