
 Leo asubuhi eneo la Mikese, Morogoro, imetokea ajali  mbaya sana ya magari mawili, moja la mafuta, kugongana uso kwa uso na kutumbukia mtaroni na yote kushika moto. Inasadikiwa mtu mmoja ambaye ni dereva wa magari hayo kateketea kabisa kwa moto. Picha na Mdau Sixmund

 Hakuna cha kufanyika kutokana na moto mkubwa na moshi mwingi wakati magari hayo yakiteketea

Askari wa kikosi cha zimamoto wakijaribu kuuzima moto huo
 
 
No comments:
Post a Comment