Monday, February 17, 2014

Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Dkt. Gharib Bilal, Akisalimiana na Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa, Wakati Alipokuwa Akiingia Kwenye Ukumbi wa Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma


  Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na Makamu wa Rais Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na mjumbe mwenzake Edward Lowassa, wakati alipokuwa akiingia kwenye Ukumbi wa Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma  kwa ajili ya kuhudhuria Kikao cha Kamati Kuu ya CCM. 

No comments:

MSAJILI HAZINA ASHIRIKI UZINDUZI UJENZI MGODI WA MADINI KINYWE

  Na Mwandishi wa OMH Mahenge, Morogoro. Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah Mchechu, ameshiriki uzinduzi wa shughuli za ujenzi wa mgodi wa madi...