Monday, February 17, 2014

Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Dkt. Gharib Bilal, Akisalimiana na Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa, Wakati Alipokuwa Akiingia Kwenye Ukumbi wa Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma


  Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na Makamu wa Rais Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na mjumbe mwenzake Edward Lowassa, wakati alipokuwa akiingia kwenye Ukumbi wa Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma  kwa ajili ya kuhudhuria Kikao cha Kamati Kuu ya CCM. 

No comments:

RAIS SAMlA AFANYA MAZUNGUMZO NA MJUMBE MAALUM WA RAIS TSHISEKEDI

  Dar es Salaam, 26 Machi 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , amekutana na kufanya mazungu...