Monday, February 17, 2014

Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Dkt. Gharib Bilal, Akisalimiana na Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa, Wakati Alipokuwa Akiingia Kwenye Ukumbi wa Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma


  Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na Makamu wa Rais Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na mjumbe mwenzake Edward Lowassa, wakati alipokuwa akiingia kwenye Ukumbi wa Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma  kwa ajili ya kuhudhuria Kikao cha Kamati Kuu ya CCM. 

No comments:

Makamu wa Rais Dkt. Nchimbi Aungana na Waombolezaji Chato Katika Ibada ya Kumuaga Mama wa Hayati Dkt. John Magufuli

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akiwa na waombolezaji mbalimbali kushiriki Ibada ya kumu...