Tuesday, February 25, 2014

MTEMVU ACHANGIA SH.IL. MOJA VICOBAYA MASHINE YA MAJI TEMEKE

Mbunge wa Jimbo la Temeke, Abbas Mtemvu (aliyevaa miwani) akilakiwa na wanachama wa Masdhine ya Maji Vicoba alipowasili kwa ajili ya sherehe ya kuitunisha mfuko wa Vicoba hiyo iliyopo Temeke, Dar es Salaam. Mtemvu alichangia sh. mil. 1. (PICHA ZOTE NA KAMANDA WA MATUKIO BLOG)
Mtemvu akimkabidhi Agnes Mangula cheti cha kuhitimu mafunzo ya uwezeshaji wa mpango wa VICOBA wakati wa hafla hiyo
Mwanachama Novatus Sambi akikabidhiwa cheti baada ya kuhitimu mafunzo hayo
Mtemvu akihutubia wakati wa hafla hiyo ambapo aliwaasa viongozi kutofuja fedha za VICOBA na kwamba atakayethubutu atatiwa ndani na kutakiwa kurejesha fedha.
Mtemvu akihesabu fedha tayari kuichangia VICOBA hiyo ya Mashine ya Maji
Mtemvu akikabidhi mchangio wake
Mmoja wa wageni waalikwa kwenye hafla hiyo akitoa ahadi ya mchango

No comments: