Thursday, April 07, 2016

MWENYEKITI WA CCM, RAIS MSTAAFU JAKAYA KIKWETE ATEMBELEA VYOMBO VYA HABARI VYA CCM,

Kaimu Mhariri Mtendaji wa Uhuru ublications Limited, Wachapishaji wa magazeti ya Uhuru, Mzalendo na Burudani, Ramadhani Mkoma, akimweleza jambo, Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaa Kikwete alipotembelea Ofisi za Kampuni hiyo, Mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu Jakaya Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na watumishi wa Uhuru Publicatiions Ltd alipotebelea kampuni hiyo leo. Pamoja naye ni Msemaji wa CCM, Cliristopher Ole Sendeka na Mwenyekiti wa Bodi ya Uhuru Media, Adam Kimbisa.
Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu Jakaya Kikwete akisaini kitabu cha wageni alipoingia katika Ofisi za Uhuru FM leo. Wengini ni Msemaji wa CCM, Christopher Ole Sendeka, Adam Kimbisa na Mkurugenzi wa Uhuru FM Angel Akilimali
Baadhi ya wayanyakazi wa UHURU FM wakiwa na Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu Jakaya Kikwete alipoingia studio wa Uhru FM.KWA PICHA KIBAO ZA UPL NA UHURU FM.

No comments: