Saturday, April 02, 2016

MKURUGENZI MKUU MPYA WA NSSF, ATEMBELEA MIRADI AAGIZA AMBAO HAWAJAMALIZA MALIPO YA NYUMBA ZA MTONI KIJICHI KUMALIZA MALIPO NDANI YA MWEZI MMOJA


 Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF),  Prof. Godius Kahyarara (wa pili kulia), akiangalia maendeleo ya ujenzi wa mradi wa nyumba za Dege Eco Village zilizopo Kigamboni jijini Dar es Salaam leo. (Picha na Francis Dande)
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF),  Prof. Godius Kahyarara akifafanua jambo jijini Dar es Salaam, kuhusu wateja  walionunua nyumba za NSSF zilizopo Mtoni Kijichi kukamilisha malipo yao ndani ya siku 30 kabla ya hatua za kisheria hazijachuliwa kwa watakaoshindwa kufanya hivyo. Kushoto ni Meneja Miradi wa NSSF, Mhandisi John Msemo.
 Meneja Miradi wa NSSF, Mhandisi John Msemo akitoa maelezo kuhusu mradi wa ujenzi wa nyumba za Dege Eco Village. Kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa NSSF, Godius Kahyarara.
 Baadhi ya wafanyakazi wa mradi wa ujenzi wa nyumba za Dege Eco Village. 
 Meneja Kiongozi Idara ya Masoko na Uhusiano wa NSSF, Eunice Chiume (kulia) akifafanua jambo wakati Mkurugenzi Mkuu wa NSSF, Prof. Godius Kahyarara  alipotembelea mradi wa ujenzi wa nyumba za Dege Eco Village Kigamboni jijini Dar es Salaam.
 Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF),  Prof. Godius Kahyarara (kulia) akiangalia moja ya nyumba zilizopo katika mradi wa Dege Eco Village.
 Sehemu ya jikoni.
 Sehemu ya jikoni.
 Ujenzi ukiwa unaendelea.
Nyumba za kisasa za Dege Eco Village.

No comments: