Jengo la kituo cha Afya cha Napupa Masasi
kilichofanyiwa ukarabati na Shirika la Nyumba la Taifa.
Friday, April 22, 2016
SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA LAFANYIA UKARABATI MKUBWA JENGO LA KITUO CHA AFYA NAPUPA, MASASI
Mkuu wa Wilaya ya Masasi Ndugu Bernard Ndutta akikata utepe katika jengo la kituo cha Afya cha
Napupa Nyasa, kuzindua jengo hilo lililofanyiwa ukarabati mkubwa na Shirika la Nyumba la Taifa.
Mkuu wa Wilaya ya Masasi Ndugu Bernard Ndutta akipokea maelezo kutoka kwa Mhandisi Ndugu Renald
Kazoba kutoka Shirika la Nyumba Nyumba la Taifa.
Baadhi ya wageni waliohudhuria kwenye
sherehe ya kukabidhi kituo cha Afya cha Napupa, Masasi. wakimsikiliza Meneja wa Shirika la Nyumba la Taifa Mkoa wa Mtwara, Joseph John.
Upande wa Nyuma wa jengo la Kituo cha Afya
cha Napupa kilichofanyiwa ukarabati na Shirika la Nyumba la Taifa na kukabidhiwa
kwa Mkuu wa Wilaya ya Halmashauri ya Mji, Masasi.
Jengo la choo kituo cha Afya lililokamilishwa ujenzi wake
na Shirika la Nyumba la Taifa.
Mkuu wa Wilaya ya Masasi Ndugu Bernard Ndutta mwenye suti nyeusi akiingia kwenye sherehe za
kukabidhiana kituo cha Afya cha Napupa Nyasa.
Meneja wa Mkoa wa Mtwara Ndugu Joseph John
akimkaribisha Mkuu wa Wilaya ya Masasi kwenye shughuli ya
kukabidhi kituo cha Afya cha Napupa Nyasa.
Meneja wa Shirika la Nyumba la Taifa Mkoa
wa Mtwara Ndugu Joseph John akitoa maelezo kwa Mkuu wa Wilaya baada ya ukaguzi
wa jengo la kituo cha Afya cha Napupa.
Baadhi ya wafanyakazi wakisikiliza kwa
makini wakati wa makabidhiano ya kituo cha Afya cha Napupa, Masasi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Prof. Mfaransa Aja na Kitabu: Aiambia Dunia Kutalii Tanzania ni Tiba
Na Mwandishi Wetu Paris, Ufaransa Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana, akiwa nchini Ufaransa jana Julai 8, 2025 amek...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
No comments:
Post a Comment