Aliyekuwa Mbunge Viti Maalum (Chadema) Mh.Christina Mughwai Lissu amefariki dunia muda mfupi uliopita katika hospitali ya Aga Khan jijini Dar. Marehemu alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa saratani tangu mwaka jana. Mungu ampumzishe kwa amani.!Thursday, April 07, 2016
ALIYEKUWA MBUNGE WA CHADEMA CHRISTINA LISSU AFARIKI DUNIA
Aliyekuwa Mbunge Viti Maalum (Chadema) Mh.Christina Mughwai Lissu amefariki dunia muda mfupi uliopita katika hospitali ya Aga Khan jijini Dar. Marehemu alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa saratani tangu mwaka jana. Mungu ampumzishe kwa amani.!
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
(Picha na Yahya Charahani) Katika kijiji cha Mwanjoro, wilayani Meatu – Shinyanga, maisha bado yanapumulia kwenye nyumba za udongo na mapaa...
No comments:
Post a Comment