Thursday, April 07, 2016

ALIYEKUWA MBUNGE WA CHADEMA CHRISTINA LISSU AFARIKI DUNIA

Aliyekuwa Mbunge Viti Maalum (Chadema) Mh.Christina Mughwai Lissu amefariki dunia muda mfupi uliopita katika hospitali ya Aga Khan jijini Dar. Marehemu alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa saratani tangu mwaka jana. Mungu ampumzishe kwa amani.![​IMG]

No comments:

Prof. Mfaransa Aja na Kitabu: Aiambia Dunia Kutalii Tanzania ni Tiba

Na Mwandishi Wetu Paris, Ufaransa Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana, akiwa nchini Ufaransa jana Julai 8, 2025 amek...