Thursday, April 07, 2016

ALIYEKUWA MBUNGE WA CHADEMA CHRISTINA LISSU AFARIKI DUNIA

Aliyekuwa Mbunge Viti Maalum (Chadema) Mh.Christina Mughwai Lissu amefariki dunia muda mfupi uliopita katika hospitali ya Aga Khan jijini Dar. Marehemu alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa saratani tangu mwaka jana. Mungu ampumzishe kwa amani.![​IMG]

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...