Tuesday, April 05, 2016

DK SHEIN AWATEUA SABA KUWA WAJUMBE WA BARAZA LA WAWAKILISHI

Rais wa Zanzibar Ali Mohamed Shein amewateua wafuatao kuwa wajumbe wa Baraza la WAWAKILISHI.
1. Mhe. Mohamed aboud Mohamed
2. Mhe. Amina Salum Ali
3. Mhe. Moulin Castico
4. Mhe Balozi Ali karume
5. Hamad Rashid Mohamed
6. Mhe. Said Soud Said
7. Mhe Juma Ali Khatibu
Uteuzi huo umeanza leo tarehe 5 Aprili 2016.

No comments:

Compact Energies: Nishati ya Jua Ni Chachu ya Mageuzi ya Uchumi Tanzania

  Na Mwandishi Wetu KAMPUNI ya Kitanzania ya Compact Energies, inayojihusisha na uzalishaji na usambazaji wa vifaa vya kisasa vinavyotumia n...