Wednesday, February 24, 2016

WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AKUTANA NA MAKAMU WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR

 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akimkaribisha Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alipomtembelea waziri Mkuu ofisini kwake Magogoni Dar es salaam kwamazungumzo ya kikazi 
Waziri mkuu Kassim Majaliwa akiongea na Makamu wa pili wa Rais Zanzibar Balozi Seif Ali Idd alipofika ofisini kwa waziri Mkuu jijini Dar es salaam kwamazungumzo ya kikazi .
Picha na Chris Mfinanga

No comments:

PPAA yatoa rai wazabuni kutumia moduli kuwasilisha rufaa

  Na Mwandishi wetu, Dar Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) imetoa rai kwa wazabuni kutumia Moduli ya kupokea na kushughulikia malal...