Tuesday, February 23, 2016

KATIBU AFANYA UKAGUZI WA UKARABATI WA UKUMBI WA BUNGE UNAOENDELEA MJINI DODOMA

kash1Katibu wa Bunge Dkt Thomas Kashililah (aliyesimama katikati) akikagua ukarabati wa ukumbi wa Bunge Mjini Dodoma. Ukarabati huo unahusisha urekebishaji wa paa la ukumbi huo pamoja na urekebishaji wa Viti na mifumo ya Umeme.
kash2Katibu wa Bunge Dkt Thomas Kashililah (wa kwanza kulia) akikagua ukarabati wa ukumbi wa Bunge Mjini Dodoma.
kash3Katibu wa Bunge Dkt Thomas Kashililah akikagua taa za Umeme ambazo zinatakiwa kubadilishwa wakati wa ukarabati wa ukumbi wa Bunge.
kash4Mhandisi Matengenzo TBA-Dodoma Hija Mrutu (Kulia) akimuelezea Katibu wa Bunge Dkt Thomas kuhusu namna ukarabati wa ukumbi wa Bunge unavyoendelea.
kash5
Katibu wa Bunge akiendelea kufanya ukaguzi wa ukarabati wa ukumbi wa Bunge Mjini Dodoma.
kash6
Katibu wa Bunge akiendelea kufanya ukaguzi wa ukarabati wa ukumbi wa Bunge Mjini Dodoma.
kash7kash8
Katibu wa Bunge akiendelea kufanya ukaguzi wa ukarabati wa ukumbi wa Bunge Mjini Dodoma.

No comments:

RAIS SAMIA APOKEA RIPOTI YA MABORESHO YA MFUMO WA KODI, ASISITIZA UCHUMI JUMUISHI NA ENDELEVU 🇹🇿

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye hafla ya kupokea Ripoti ya Tume ya Rais ya Kutathm...