Wednesday, February 24, 2016

MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA AZINDUA PROGRAM MAALUM YA MWANAMKE NA WAKATI UJAO LEO

fe1
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizindua Programe maalum ya Mwanamke na wakati ujao (Female Future) katika ukumbi wa Hoteli ya Hayyat Hotel Dar es salaam Februari 24,2016.
fe2
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiwa katika picha ya pamoja baada ya kuzindua Programe maalum ya Mwanamke na wakati ujao (Female Future) katika Hoteli ya Hayyat  Dar es salaam leo Februari 24,2016.
fe3
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na waandishi wa vyombo mbalimbali vya Habari baada ya kuzindua Programe ya Mwananke na wakati ujao Female Future katika Hoteli ya Hayyat Dar es salaam leo Februari 24,2016. (Picha na OMR)

No comments:

Waziri Kombo akutana na Mkuu wa Misheni ya Uangalizi wa Uchaguzi ya Umoja wa Afrika

   Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo amekutana na Mkuu wa Misheni ya Uangalizi wa U...