Thursday, February 18, 2016

UZINDUZI WA MRADI WA AFYA BORA YA MAMA NA MTOTO ZANZIBAR.

 Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. Halima Maulid Salum akifungua warsha ya uzinduzi wa Mradi wa Afya bora ya mama na mtoto katika Hoteli ya Mzson Shangani Mjini Zanzibar.
 Mkurugenzi Idara ya Kinga na elimu ya afya Dkt. Mohd Dahoma akizungumza na washiriki waliohudhuria katika warsha ya uzinduzi wa mradi wa Afya bora ya Mama na Mtoto katika ukumbi wa Hoteli ya mazson Shangani mjini Zanzibar.
 Meneja wa Mradi wa Afya bora ya mama na mtoto kutoka Shirika la kuhudumia watoto Tanzania Dkt. Bernard Mbwele akitoa maelezo juu ya mtazamo wa mradi huo kwa washiriki katika Hoteli ya Mazson Mjini Zanzibar.

No comments:

RAIS SAMIA APOKEA RIPOTI YA MABORESHO YA MFUMO WA KODI, ASISITIZA UCHUMI JUMUISHI NA ENDELEVU 🇹🇿

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye hafla ya kupokea Ripoti ya Tume ya Rais ya Kutathm...