Friday, February 26, 2016

SERIKALI YAONYA MAWAZIRI WASIOREJESHA HATI ZA AHADI YA UADILIFU NA MALI

Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa akiongea na wanahabari ofisini kwake Magogoni jijini Dar es salaam kuhusu maagizo ya Rais John Pombe Joseph Magufuli dhidi ya mawaziri ambao hawajasaini na kurejesha hati za ahadi ya uadilifu kwa watumisi wa Umma pamoja na kutangaza mali

No comments:

RAIS SAMIA APOKEA RIPOTI YA MABORESHO YA MFUMO WA KODI, ASISITIZA UCHUMI JUMUISHI NA ENDELEVU 🇹🇿

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye hafla ya kupokea Ripoti ya Tume ya Rais ya Kutathm...