Friday, February 26, 2016

SERIKALI YAONYA MAWAZIRI WASIOREJESHA HATI ZA AHADI YA UADILIFU NA MALI

Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa akiongea na wanahabari ofisini kwake Magogoni jijini Dar es salaam kuhusu maagizo ya Rais John Pombe Joseph Magufuli dhidi ya mawaziri ambao hawajasaini na kurejesha hati za ahadi ya uadilifu kwa watumisi wa Umma pamoja na kutangaza mali

No comments:

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA

Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...