Friday, February 12, 2016

WATUHUMIWA 11 WA MABEHEWA YA MIZIGO TRL WAFIKISHWA MAHAKAMA YA KISUTU KWA MATUMIZI MABAYA YA MADARAKA

????????????????????????????????????Watuhumiwa wa mabehewa ya Mizigo TRL wakiwa nje ya Mahakama ya Kisutu jijini Dar es Salaam tayari kwenda kusomewa mashtaka yanayoyabili watuhumiwa, hao kumi na moja walitenda kosa la matumizi mabaya ya madaraka na nyaraka, ikihusiana na manunuzi ya behewa ya kokoto (wapili kulia nyuma) Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Reli nchini(TRL),Mhandisi Kapallo Kisamfu.
????????????????????????????????????
????????????????????????????????????
????????????????????????????????????Wtuhumiwa wakiingia mahakani kisutu leo.
????????????????????????????????????
????????????????????????????????????Watuhumiwa 11 wa mabehewa ya Mizigo TRL wakiwa ndani ya mahakama Kisutu wakisubiri kusomewa mashtaka yao ambapo wanatuhumiwa kwa kosa la matumizi mabaya ya madaraka na nyaraka, ikihusiana na manunuzi ya behewa ya kokoto (wapili kulia nyuma) Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Reli nchini(TRL),Mhandisi Kapallo Kisamfu.
PICHA ZOTE NA PHILEMON SOLOMON-FULLSHANGWEBLOG.

No comments:

TUZINGATIE UTU, SHERIA NA HAKI KATIKA UTEKELEZAJI WA MAJUKUMU YA ULINZI WA RASILIMALI ZA TAIFA- DKT KIJAJI

  Na. Joyce Ndunguru, Morogoro. Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe.Dkt Ashatu Kijaji (Mb) amewataka watumishi wa Mamlaka ya Usimamizi wa W...