Friday, February 12, 2016

WATUHUMIWA 11 WA MABEHEWA YA MIZIGO TRL WAFIKISHWA MAHAKAMA YA KISUTU KWA MATUMIZI MABAYA YA MADARAKA

????????????????????????????????????Watuhumiwa wa mabehewa ya Mizigo TRL wakiwa nje ya Mahakama ya Kisutu jijini Dar es Salaam tayari kwenda kusomewa mashtaka yanayoyabili watuhumiwa, hao kumi na moja walitenda kosa la matumizi mabaya ya madaraka na nyaraka, ikihusiana na manunuzi ya behewa ya kokoto (wapili kulia nyuma) Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Reli nchini(TRL),Mhandisi Kapallo Kisamfu.
????????????????????????????????????
????????????????????????????????????
????????????????????????????????????Wtuhumiwa wakiingia mahakani kisutu leo.
????????????????????????????????????
????????????????????????????????????Watuhumiwa 11 wa mabehewa ya Mizigo TRL wakiwa ndani ya mahakama Kisutu wakisubiri kusomewa mashtaka yao ambapo wanatuhumiwa kwa kosa la matumizi mabaya ya madaraka na nyaraka, ikihusiana na manunuzi ya behewa ya kokoto (wapili kulia nyuma) Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Reli nchini(TRL),Mhandisi Kapallo Kisamfu.
PICHA ZOTE NA PHILEMON SOLOMON-FULLSHANGWEBLOG.

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...