Sunday, February 07, 2016

WAZIRI MBARAWA AWATAKA MAKANDARASI KURUDI KAZINI

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa (kulia) akimsikiliza Mbunge wa Mvomero Sadick Murad (kushoto) wakati akitoa maelezo kuhusu ujenzi wa barabara ya Magole-Turiani yenye urefu wa Km 48.6. Katikati ni Naibu Waziri wa Wizara hiyo Eng. Edwin Ngonyani.
Sehemu ya juu ya daraja la Diwale lenye urefu wa mita 75 likiwa katika hatua za mwisho za ujenzi wake kama linavyoonekana.
Mbunge wa Mvomero Sadick Murad akimwongoza Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa (wa pili kulia) kuelekea katika daraja la Diwale, wa tatu kulia ni Meneja wa TANROADS mkoa wa Morogoro Eng. Dorothy Mtenga.
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa akizungumza na wananchi wa Turiani kuhusu kukamilika kwa ujenzi wa Darajala Diwale.
Muonekano wa Daraja la Diwale linalounganisha wilaya ya Mvomero na Kilindi.
Mafundi wanaotengeneza vichwa vya treni katika karakana kuu ya TRL, Mkoani Morogoro.
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa akipata maelezo kutoka kwa mkandarasi Sanayejenga.
Waziri wa Ujenzi,Uchukuzi na Mawsiliaano Prof.Makame Mbarawa (Wa pili kushoto), akitoa maelekezo kwa Meneja bishara wa kampuni ya Malaysia inayojenga vichwa vya treni Srinivasan Rajmohan (Wa kwanza kulia) kuhusu kufanya kazi hiyo kwa haraka ( Wa pili kushoto) ni katibu Mkuu Sekta ya Uchukuzi Eng.Leonard Chamuriho na (Wapili kulia) ni Naibu Waziri Eng.Edwin Ngonyani.
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof.Makame Mbarawa akizungumza na Wafanyakazi wa TRL (Hawapo pichani), Wa pili kushoto ni Naibu Waziri wa Ujenzi, Ucukuzi na Mawasiliano Eng.Wdwin Ngonyani, akifuatiwa na Kaimu Meneja wa TRL Morogoro Eng.Yusto Goima na Meneja TANROADS Morogoro Eng.Dorothy Mtenga.
Wafanyakazi wa karakana kuu ya Reli Mkoani Morogoro wakimsiliza Waziri wa Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano Prof.Makame Mbarawa (Hayupo pichani), akiwapa muongozo wa kufanya kazi

No comments: