Monday, February 15, 2016

MAJALIWA AAGANA NA BALOZI WA TANZANIA NCHINI KUWAIT, MAHADHI

m2
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisalimiana na Balozi wa Tanzania nchini Kuwait, Mhe. Mahadhi Juma Maalim ambaye alikwenda Ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar es salaam kuaga Februari 15, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
mh1
Waziri  Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Balozi wa Tanzania nchini Kuwait, Mhe Mahadhi Juma Maalim  ambaye alikwenda  ofisini kwa  Waziri Mkuu jijini Dar es salaam kuaga Februari 15, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Waziri Kombo akutana na Mkuu wa Misheni ya Uangalizi wa Uchaguzi ya Umoja wa Afrika

   Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo amekutana na Mkuu wa Misheni ya Uangalizi wa U...