Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimkabidhi zawadi ya picha Askofu Mkuu wa Pili wa EAGT, Dkt. Brown Abel Mwakipesilie zawadi ya picha yenye maadishi ya neon la Mungu katika Ibada ya kumsimika Askofu huyo iliyofanyika kwenye kanisa la EAGT Mlimwa West mjini Dodoma Februari 7, 2016.
Waziri kuu, Kassim Majaliwa akiteta na Askofu Mkuu wa Pili wa EAGT, Dkt. Brown Abel Mwakipesile katika Ibada ya kumsimika Askofu huyo iliyofanyika kwenye kanisa la EAGT Mlimwa West Mjini Dodoma Februari 7, 2016.
No comments:
Post a Comment