Tuesday, February 23, 2016

MAJALIWA AKUTANA NA MABALOZI

sil1
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akisalimiana na  Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa nchini, Mhe. Alvaro Rodriguez kabla  ya mazungumzo yao Ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar es salaam Februari 23, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
sil2
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akizungumza  na  Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa nchini, Bw. Alvaro Rodriguez  Ofisini kwake jijini Dar es salaam Februari 23, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
sil3
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Balozi wa Uturuki nchini, Mhe. Yosemin Eralp kabla ya mazungumzo yao ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar es salaam Februari 23, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
sil4
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akizungumza  na  Balozi wa Ireland nchini, Mhe.  Fionnuala  Gilsenan,  Ofisini kwake jijini Dar es salaam Februari 23, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
sil5
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akizungumza  na  Balozi wa Switzerland nchini, Mhe.  Florence Tinguely Mattli,  Ofisini kwake  Mkuu jijini Dar es salaam Februari 23, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA

Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...