MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2015/16 YATANGAZWA
Baraza la mitiani Tanzania NECTA limetangaza Matokeo ya kidato cha nne mwaka 2015 , ambapo ufaulu unaelezwa kushuka kwa 1.85% toka 69.75% mwaka 2014 hadi 67.91% mwaka 2015.
Matokeo yote unaweza kuyatazama >>HAPA
No comments:
Post a Comment