Thursday, February 18, 2016

WAZIRI MKUU, MAJALIWA AKUTANA VIONGOZI WA AIRTEL

 Waziri Mkuu, Kasim Majaliwa akisalimiana na Mwenyekiti wa Kampuni ya Simu za Mkononi ya Bharti Airtel ya India, Sunil Bharti Mittal kabla ya mazungumzo yao, ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar es salaaam Februari 18, 2016.

Waziri Mkuu, Kasim Majaliwa akisalimiana na Mtendaji Mkuu wa Airtel Afrika, Christian Defaria (kulia) na Mwenyekiti wa Kampuni ya Simu za Mkononi ya Bharti Airtel ya India, Sunil Bharti Mittal (katikati) kabla ya mazungumzo yao, ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar es salaaam Februari 18, 2016. 

(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Waziri Kombo akutana na Mkuu wa Misheni ya Uangalizi wa Uchaguzi ya Umoja wa Afrika

   Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo amekutana na Mkuu wa Misheni ya Uangalizi wa U...