Friday, February 19, 2016

MAJALIWA ASHIRIKI MAZISHI YA BABA YAKE WAZIRI WA AFYA

lim1
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiweka udongo kaburini katika kaburi la  Baba Mzazi wa Waziri wa Afya,  Maendeleo ya Jamii, jinsia ,Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu, Mzee Ali Mwalimu katika  mazishi yaliyofanyika nyumbani kwa marehemu eneo la  Mchukuuni mjini Tanga Februari 19, 2016(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
lim2Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akimpa pole Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,  Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu  wakati aliposhiriki mazishi ya baba mzazi wa waziri huyo mzee Ali Mwalimu, nyumbani kwa marehemu eneo la  Mchukuuni mjini Tanga Februari 19, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments: