Friday, February 19, 2016

MAJALIWA ASHIRIKI MAZISHI YA BABA YAKE WAZIRI WA AFYA

lim1
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiweka udongo kaburini katika kaburi la  Baba Mzazi wa Waziri wa Afya,  Maendeleo ya Jamii, jinsia ,Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu, Mzee Ali Mwalimu katika  mazishi yaliyofanyika nyumbani kwa marehemu eneo la  Mchukuuni mjini Tanga Februari 19, 2016(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
lim2Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akimpa pole Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,  Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu  wakati aliposhiriki mazishi ya baba mzazi wa waziri huyo mzee Ali Mwalimu, nyumbani kwa marehemu eneo la  Mchukuuni mjini Tanga Februari 19, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...