Monday, February 22, 2016

KIKWETE AZINDUA OFISI YA CCM WILAYA YA KIBAHA MJINI LEO


 Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu Jakaya Kikwete akizindua Ofisi ya CCM Wilaya ya Kibaha mjini mkoani Pwani leo. Ofisi hiyo imejengwa na familia ya Mbunge wa Kibaha mjini Slyvester Koka (kulia). (Picha na Bashir Nkoromo).

No comments:

WAZIRI SANGU: MAHUSIANO MEMA MSINGI WA UMOJA WA TAIFA

✅ Ahimiza Mshikamano katika kujenga Tanzania Imara Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus Clement Sangu ...