Mwanzo wa safari yetu kutoka Dodoma ofisini kuelekea Mikumi National Park Morogoro. Picha zote za Shirika la Nyumba la Taifa.
Hapa ndio tunaingia kwenye viunga vya Mikumi Ntional Park.
Wafanyakazi na familia zao wakiwa mbele ya lango la kuingia mbugani
Twiga wakiwa mbugani, Mnyama anaetumia miguu yake kupambana na adui, ni vigumu kuuliwa na simba kwasababu ya shingo yake ndefu.
Tembo wakiwa Mbugani,
Hutumia pembe zake kujihami na adui na hutembea kwa makundi kulingana na rika
na uwezo wa kupambana na adui.
Wafanyakazi wa
Shirika la Nyumba mkoa wa Dodoma wakibadilishana mawazo na watalii wengine
ndani ya mbuga ya wanyama Mikumi
No comments:
Post a Comment