Tuesday, August 04, 2015

TASWIRA MBALI MBALI KATIKA MKUTANO MKUU WA CHADEMA UNAOFANYIKA KWENYE UKUMBI WA MLIMANI CITY, JIJINI DAR LEO

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Freeman Mbowe (wa nne kulia) akiwa ameshikana mikono na Mgombea wa Urais alieteuliwa na chama hicho, Mh. Edward Lowassa (wa tatu kulia) pamoja na Mgombea Mwenza wake, Mh. Dkt. Juma Haji Duni (mwenye suti nyeusi) pamoja na wanachama wapya wa Chama hicho, wakati wakitambulishwa kwenye Mkutano Mkuu wa Chama hicho, unaoendelea kufanyika hivi sasa kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Mlimani City, Jijini Dar es Salaam.
Picha ya pamoja.













No comments:

Kamati ya Ukaguzi TARURA yakagua Miradi ya ujenzi wa miundombinu ya Barabara mkoani Singinda

#Kukamilika kwa daraja wilayani Manyoni kusaidia usafirishaji wa Samaki na Chumvi Singida Kamati ya Ukaguzi ya Wakala ya Barabara za Vijijin...