Thursday, April 09, 2015

WANAFUNZI WA TANZANIA WANAOSOMA MJINI BEIJING CHINA

Viongozi Wapya waliochaguliwa katika Mkutano Mkuu wakiwa katika picha ya pamoja ikiwa ni kumbukumbu ya Uchaguzi huo.
Wanafunzi wa Kitanzania wanaosoma Beijing China wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kumalizika kwa Mkutano Mkuu wa Jumuiya hiyo na kuwapata Viongozi wapya baada ya kuchagulia kwa kuongoza Jumuiya hiyo kwa mwaka 2015/2016

No comments:

Rais Museveni Afanya Ziara ya Kikazi Tanzania, Aimarisha Ushirikiano wa Kidiplomasia na Kiuchumi na Rais Samia

Rais wa Jamhuri ya Uganda, Mheshimiwa Yoweri Kaguta Museveni, amewasili jijini Dar es Salaam kwa ziara ya kikazi ya siku moja, ziara inayodh...