Friday, April 17, 2015

BALOZI WA UINGEREZA AKUTANA NA WAZIRI WA ARDHI

002
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mheshimiwa William Lukuvi akizungumza na Balozi wa Uingereza hapa nchini Bi. Dianna Melrose wakati balozi huyo alipomtembelea Mheshimiwa Lukuvi ofisini kwake kujadiliana masuala mbalimbali yanayohusu uendelezaji wa  uendelezaji wa sekta ya ardhi nchini Tanzania.

No comments:

RAIS SAMIA AWEKA AFRIKA KATIKA RAMANI MPYA YA UWEKEZAJI WA KIMATAIFA KUPITIA GAIS DUBAI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan , ameshiriki uzinduzi wa Global Africa Investment Summit (GAIS) jijini D...