Monday, April 20, 2015

TANZANIA KUPAMBANA NA UKOSEFU WA LISHE BORA

Waziri wa Fedha Mhe. Saada Salum akisalimiana na mwakilishi kutoka UNICEF katika mkutano wa Lishe mjini Washington DC.ing2Waziri wa Fedha Mhe. Saada Salum akisikiliza kwa makini hoja iliyokuwa ikitolewa na mwakilishi kutoka CIFF katika mkutano wa Lishe mjini Washington DC.ing3Wajumbe kutoka nchi mbali mbali Duniani wakimsikiliza Waziri wa Fedha Mhe. Saada Salum Mkuya ( hayupo kwenye picha) alipokuwa akiwasilisha mada na kuchangia hoja mbalimbali katika mkutano uliohusu Lishe bora kwa mtoto mjini Washington DC.
ing4Waziri wa Fedha Mhe. Saada Salum aakitoa mada na kuchangia hoja mbalimbali zinazohusu Tanzania katika mkutano wa Lishe mjini Washington DC.ing5Waziri wa Fedha Mhe. Saada Salum akipongezwa na Mshauri Lishe wa Rais Jakaya Kikwete, Dr. Wilbald Lori pamoja na wajumbe kutoka Mataifa mbalimbali mara baada tu ya kumaliza kuwasilisha Mada kuhusu hali ya Lishe Tanzania,mjini Washington DC.
ing6Waziri wa Fedha Mhe. Saada Salum akiulizwa maswali na baadhi ya wajumbe waliokuwepo kwenye mkutano huo, mara baada tu ya mkutano wa Lishe mjini Washington DC.ing7Waziri wa Fedha Mhe. Saada Salum akimsikiliza kwa makini mjumbe aliyekuwa akimuuliza maswali kuhusu hali ya Lishe kwa Tanzania baada ya mkutano wa Lishe mjini Washington DC.

No comments: