Thursday, April 23, 2015

BENKI YA EXIM YAPIGA JEKI MBIO ZA MARATHON NGORONGORO

 Afisa Masoko wa Benki ya Exim (Tawi la Karatu), Bi. Rosemary Meglan (kulia) akikabidhi kasha la gurudumu kwa Waziri Mkuu mstaafu Mh. Frederick Sumaye ambaye alikua mgeni rasmi katika mbio za Ngorongoro Marathon zilizofanyika Karatu, Manyara hivi karibuni. Benki ya Exim ilikua miongoni mwa wadhamini wa mbio hizo. Wengine ni wafanyakazi wa benki hiyo.
Afisa Masoko wa Benki ya Exim (Tawi la Karatu), Bi. Rosemary Meglan (kulia) akikabidhi vipeperushi vyenye taarifa za huduma zinazotolewa na benki hiyo kwa Waziri Mkuu mstaafu Mh. Frederick Sumaye ambaye alikua mgeni rasmi katika mbio za Ngorongoro Marathon zilizofanyika Karatu, Manyara hivi karibuni. Benki ya Exim ilikua miongoni mwa wadhamini wa mbio hizo. Wengine ni wafanyakazi wa benki hiyo

No comments:

🔰 RAIS SAMIA AWASILI MMUT KIKOMBO, ATOA MSISITIZO MKALI KUHUSU ULINZI NA USALAMA WA TAIFA

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , tarehe 24 Februari 2026 aliwasili kati...