Monday, September 01, 2014

MSAMA ANASA CD FEKI ZA MUZIKI NA MASHINE 10 ZA KUDURUFIA ZENYE THAMANI YA SH. MIL. 2000

 Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Msama Auction Mart, Alex Msama akionesha moja kati ya mashine 10 za kudurufia CD za muziki zilizokamatwa na polisi katika msako wa wanaotengeneza CD feki za muziki wa wasanii mbalimbali nchini. Watu 20 wakiwemo wamiliki wa nyumba wawili waliowapangiza watuhumiwa hao. Msama alikuwa anaonesha mashine hizo leo katika Kituo cha Polisi cha Urafiki, Ubungo Dar es Salaam.
 Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Msama Auction Mart, Alex Msama akionesha moja kati ya mashine 10 za kudurufia CD za muziki zilizokamatwa na polisi katika msako wa wanaotengeneza CD feki za muziki wa wasanii mbalimbali nchini. Watu 20 wakiwemo wamiliki wa nyumba wawili waliowapangiza watuhumiwa hao. Msama alikuwa anaonesha mashine hizo leo katika Kituo cha Polisi cha Urafiki, Ubungo Dar es Salaam.Mashine na CD zilizokamatwa zina thamani ya sh. mil. 200. 
 Baadhi ya mashine hizo zilizokamatwa katika msako huo
 Sehemu ya mashine na dawa zinzotumika kutengenezea CD
 Msama akisaidiana na Poilisi wa Kituo cha Urafiki kumwaga CD mbalimbali zilizokamatwa maeneo mbalimbali jijini Dar es Salaam

 Msama akizimwaga CD zilizokamatwa jijini Dar es Salaam
 Msama akionesha dawa na rangi zinztotumika kutengenezea CD
 Msama akionesha mashine ya kubadilishia rangi za macover ya CD
 Msama akizungumza na waandishi wa habari katika Kituo cha Polisi cha Urafiki kuhusu sakata hilo ambapo ameapa kupambana na wezi wa kazi za wasanii mpaka mwisho. 
 Msama akionesha baadhi ya CD feki zilizokamatwa ambapo alisema mashine na CD zilizokamatwa zina thamani ya sh. mil. 200
 Sehemu ya CD zilizokamatwa
 Moja ya CD iliyokamatwa ikiwa na stempu feki ya TRA
 CD feki ya msanii Bahati Bukuku iliokamatwa ikiwa na Stempu feki ya TRA
CD nyingine feki iliyokamatwa

No comments: