Wednesday, October 10, 2007

Chuo Kikuu leo


Mazingira ya Chuo kikuu leo hapa ni maeneo ya pale utawala wadau mnasemaje.

3 comments:

Egidio Ndabagoye said...

Mazingira yanapendeza sana.Huwa mara nyingi nilipokuwa nafika kilimani hapo najihisi kama sipo Dasalama kwa kile kibariiidi kizuri.

sizinga said...

napapenda kweli hapo pahala

Chemi Che-Mponda said...

Panapendeza sana. Nakumbuka zamani kulikuwa na nyoka na ngedere kibao hapo. Hiyo bonde ilikuwa na Chatu pia.

DKT. KIJAJI AIPA TANO BODI YA TAWA.

Na, Sixmund Begashe, Arusha Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA), imepongezwa kwa ubunifu wake katika...