Tuesday, October 09, 2007

Mzee Kassum



Mzee Alnoor Kassum akisalimiana na mama Maria Nyerere jana ikulu alipozindua kitabu kiitwacho 'africa's wind of change' kilichoandika Kassum ambaye ni mmoja wa mawaziri waliokuwa kwenye kabineti ya awamu ya kwanza. ukitaka kuona picha zaidi nenda kwa Haki Ngowi upate habari zaidi.

1 comment:

Anonymous said...

Twende wapi kaka maliziaaa.... mzeee
charahani