Wednesday, October 03, 2007

Watoto na kilimo


hebu cheki watoto hawa walivyo bize na kilimo, halafu unambie kuwa eti hawa watavuna cha kutosha kulisha wananchi wote, hivi kweli jamani tutafika wakati kilimo ndo kinachangia asilimia zaidi ya 75 ya ajira za wabongo.

No comments:

Prof. Mfaransa Aja na Kitabu: Aiambia Dunia Kutalii Tanzania ni Tiba

Na Mwandishi Wetu Paris, Ufaransa Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana, akiwa nchini Ufaransa jana Julai 8, 2025 amek...