Wednesday, October 03, 2007

Watoto na kilimo


hebu cheki watoto hawa walivyo bize na kilimo, halafu unambie kuwa eti hawa watavuna cha kutosha kulisha wananchi wote, hivi kweli jamani tutafika wakati kilimo ndo kinachangia asilimia zaidi ya 75 ya ajira za wabongo.

No comments:

WAZIRI NA NAIBU WAZIRI WA ARDHI WASHIRIKI KIKAO CHA KWANZA CHA MKUTANO WA 19 WA BUNGE LA 12 KWA AJILI YA KUJADILI BAJETI YA SERIKALI 2025/2026

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Deogratius Ndejembi (MB), leo tarehe 8 Aprili 2025, ameshiriki kikao cha kwanza cha Mku...