Wednesday, October 03, 2007

Watoto na kilimo


hebu cheki watoto hawa walivyo bize na kilimo, halafu unambie kuwa eti hawa watavuna cha kutosha kulisha wananchi wote, hivi kweli jamani tutafika wakati kilimo ndo kinachangia asilimia zaidi ya 75 ya ajira za wabongo.

No comments:

NHC YAKABIDHI MSAADA KWA WATU WENYE ULEMAVU UBUNGO

  Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), kupitia kwa Afisa wake Mkuu wa Habari, Yahya Charahani, limekabidhi msaada wa vifaa vya kusaidia watu we...