Monday, October 15, 2007

Vimbwete


Hivi vijiwe vinajulikana kama vimbwete vipo pale Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na vinasambaa kwa kasi kila chuo kikuu, hebu nambieni hivi tunakwenda wapi, hapa ni chuo kikuu cha ardhi.

No comments:

Prof. Mfaransa Aja na Kitabu: Aiambia Dunia Kutalii Tanzania ni Tiba

Na Mwandishi Wetu Paris, Ufaransa Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana, akiwa nchini Ufaransa jana Julai 8, 2025 amek...