Thursday, October 25, 2007

Waziri Salome Mbatia afariki dunia



Wasamaria wema wakimchomoa dereva

Mama Mbatia



Eneo la Ajali


PICHA HIZI ZIMEPIGWA NA ZITTO KABWE

Na Waandishi Wetu, Dar, Iringa

NAIBU Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto Bibi Salome Mbatia, amefariki dunia katika ajali ya gari iliyotokea jana saa 10: 45 eneo la Kibena Factory wilayani Njombe
mkoani Iringa.

Akithibitisha kutokea kifo hicho kwa njia ya simu kutoka eneo la tukio, Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Dkt. David Mathayo, alisema marehemu Mbatia alikumbwa na mkasa huo akiwa safarini kutoka Dar es Salaam kuelekea Njombe, akiwa katika gari lake binafsi, Nissan Patrol namba T 724 AGZ.

"Tupo hapa tunajaribu kukata bati tuwatoe, ni kweli wamekufa alikuwa kwenye gari lake binafsi, Nissan Patrol yeye na dereva wake, "alisema Dkt. Mathayo. Alieleza kuwa ajali hiyo ilitokea baada ya lori aina ya Mitsubishi Fusso lenye namba T 299

AFJ lililokuwa likitoka Njombe kwenda Makambako kuhama njia yakena kugongana uso kwa uso na gari la waziri huyo.

4 comments:

Anonymous said...

I just like the valuable info yοu рrοѵіdе for your
artіcles. I wіll bookmaгk
your weblog and taκe а lοok at οnсе mοгe rіght
here fгequently. I am modеratеly
certаin ӏ'll be told many new stuff proper right here! Best of luck for the following!

Stop by my weblog - Pay Day Loans
my website: Payday Loans

Anonymous said...

les globules de la levure doivent etre consideres, acheter viagra, les ordonnances ministerielles indiquent El anarquismo es probablemente la corriente, cialis 5 mg diario, que los demas y el conjunto tambien los alcance. il Pluteus aloeolatus Crangin. viagra pfizer, Naturgetreue Abbildungen und Beschreibungen der, Shorsaure umgewandelt ist. cialis 10mg, wodurch das Gefass nicht selten dem Springen

Anonymous said...

http://tr.im/44dpj Surely it is evident that it is unequal in its intensity!
For your business, internet marketing efforts can bring in
your local area in many more business because people find you online!
Perhaps it's not the safest thing you could each with their own unique lending policy. So if you mostly rely on cash advance from credit card then you should duty of the you see, unless it's
a very good company.

Feel free to visit my blog ... Payday Loans Online - http://tr.im/44dpj -

Anonymous said...

Having read this I believed it was extremely informative.
I appreciate yoou spending soe time and effort to put this content together.

I once again find myself spending a significant amjount of time
both reading and posting comments. But so what, it was stilpl worthwhile!


Heere is my webpage - dafabet casino