Thursday, October 11, 2007

Rais Kikwete Nyumbani



Rais Jakaya Kikwete akifurahia jambo na mtoto yatima mwenye umri wa mwaka mmoja na nusu, Mohammed ambaye anamlea nyumbani kwake Ikulu baada ya kutupwa na mama yake baada ya kuzaliwa. Mama Salma alimchukua mtoto huyo katika kituo cha kulelea watoto yatima cha Mburahati jijini Dar es Salaam. Picha ya Ikulu.

No comments:

RAIS SAMIA ALETA FURAHA NA MATUMAINI BUSEGA, AFUNGUA MRADI MKUBWA WA KUKABILIANA NA MABADILIKO YA TABIANCHI

Shamrashamra za ufunguzi wa mradi wa Maji na Usafi wa Mazingira wa Lamadi, Wilayani Busega mkoani Simiyu tarehe 19 Juni, 2025 Rais wa Jamhur...