Thursday, October 11, 2007

Rais Kikwete Nyumbani



Rais Jakaya Kikwete akifurahia jambo na mtoto yatima mwenye umri wa mwaka mmoja na nusu, Mohammed ambaye anamlea nyumbani kwake Ikulu baada ya kutupwa na mama yake baada ya kuzaliwa. Mama Salma alimchukua mtoto huyo katika kituo cha kulelea watoto yatima cha Mburahati jijini Dar es Salaam. Picha ya Ikulu.

No comments:

RAIS SAMIA AMTEMBELEA PACOME, AMPATIA POLE NA KUMTAKIA AFYA NJEMA

  Dar es Salaam – Mchezaji wa klabu ya Yanga, Pacome Zouzoua , amepata faraja ya kipekee baada ya kutembelewa na Rais wa Jamhuri ya Muungan...