Thursday, October 11, 2007

Rais Kikwete Nyumbani



Rais Jakaya Kikwete akifurahia jambo na mtoto yatima mwenye umri wa mwaka mmoja na nusu, Mohammed ambaye anamlea nyumbani kwake Ikulu baada ya kutupwa na mama yake baada ya kuzaliwa. Mama Salma alimchukua mtoto huyo katika kituo cha kulelea watoto yatima cha Mburahati jijini Dar es Salaam. Picha ya Ikulu.

No comments:

Makamu wa Rais Aongoza Salamu za Rambirambi kwa Kifo cha Jenista Mhagama, Ataja Taifa Kupata Pengo Kubwa

  #RIPJenistaMhagama #Tanzania #Ruvuma #Uongozi Dodoma – Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nch...