Wednesday, October 24, 2007
Gwiji la mapicha amerejea
Nadhani bila shaka mtakuwa mkijiuliza hivi huyu Mpoki Bukuku, Mwandishi wa habari mwandamizi na mpiga picha wa siku nyingi yupo wapi?, msihofu bwana huyu jama a yupo na leo kanambia kwamba amerejea full mass nondo na akanipa salamu niwaambieni kina Haki Ngowi, Jeff Msangi, Muhidin Michuzi, Freddy Macha, na wengine kibao maana nikianza kuwataja wote hapa patakuwa hapatoshi, by the way karejea hebu mchekini HAPA ili mpate picha nyingi na kiboko zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
(Picha na Yahya Charahani) Kwa wale waliokulia maeneo haya, hili ni jambo la kawaida ukitoka mjini, shambani sijui hadi wapi kote ni haya h...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
No comments:
Post a Comment