Wednesday, October 24, 2007
Gwiji la mapicha amerejea
Nadhani bila shaka mtakuwa mkijiuliza hivi huyu Mpoki Bukuku, Mwandishi wa habari mwandamizi na mpiga picha wa siku nyingi yupo wapi?, msihofu bwana huyu jama a yupo na leo kanambia kwamba amerejea full mass nondo na akanipa salamu niwaambieni kina Haki Ngowi, Jeff Msangi, Muhidin Michuzi, Freddy Macha, na wengine kibao maana nikianza kuwataja wote hapa patakuwa hapatoshi, by the way karejea hebu mchekini HAPA ili mpate picha nyingi na kiboko zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
NHC YAKABIDHI MSAADA KWA WATU WENYE ULEMAVU UBUNGO
Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), kupitia kwa Afisa wake Mkuu wa Habari, Yahya Charahani, limekabidhi msaada wa vifaa vya kusaidia watu we...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
No comments:
Post a Comment