Wednesday, October 24, 2007

Gwiji la mapicha amerejea

Nadhani bila shaka mtakuwa mkijiuliza hivi huyu Mpoki Bukuku, Mwandishi wa habari mwandamizi na mpiga picha wa siku nyingi yupo wapi?, msihofu bwana huyu jama a yupo na leo kanambia kwamba amerejea full mass nondo na akanipa salamu niwaambieni kina Haki Ngowi, Jeff Msangi, Muhidin Michuzi, Freddy Macha, na wengine kibao maana nikianza kuwataja wote hapa patakuwa hapatoshi, by the way karejea hebu mchekini HAPA ili mpate picha nyingi na kiboko zaidi.

No comments:

Rais Dkt. Samia Awasili Addis Ababa Kushiriki Mkutano wa 39 wa Wakuu wa Nchi wa AU

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewasili katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Bole, Jij...