Monday, October 15, 2007

Chuo Kikuu cha Ardhi



Unapoingia katika lango la kuelekea Chuo Kikuu cha Ardhi zamani UCLAS mambo yako hivi, jamani bongo siku hizi watu wanakata nyanga hawana mfano yaani ni elimu kwa kwenda mbele watru washashitukia ujinga picha hii kwa niaba ya mdau wangu Faraja Jube.

No comments:

*MV NEW MWANZA YAZINDULIWA RASMI*

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, amezindua meli ya kisasa MV New Mwanza, akibainisha kuwa ni uwekezaji wa kimkakati wa Serikali katika kui...