Monday, October 15, 2007

Chuo Kikuu cha Ardhi



Unapoingia katika lango la kuelekea Chuo Kikuu cha Ardhi zamani UCLAS mambo yako hivi, jamani bongo siku hizi watu wanakata nyanga hawana mfano yaani ni elimu kwa kwenda mbele watru washashitukia ujinga picha hii kwa niaba ya mdau wangu Faraja Jube.

No comments:

Rais Dkt. Samia Awasili Addis Ababa Kushiriki Mkutano wa 39 wa Wakuu wa Nchi wa AU

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewasili katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Bole, Jij...