Tuesday, October 30, 2007

Hebu cheki hapa jumba limebomolewa


Kalikuwa kaugomvi kadogo pale Mbezi katika ya Miliki mmoja na mwingine, na hatimaye aliyewahi akajenda, kuona hivyo yule aliyechelewa akaona hakuwa na ujanja kwa maana hiyo akaamua kuibomoa nyumba ya mwenziua kwa kutumia tinga tinga la kukodi huku akijifanya kuwatumia maafisa wa usalama wa taifa. Cheki hasara washikaji msijenge maeneo unplanned.

No comments:

Rais Dkt. Samia Awasili Addis Ababa Kushiriki Mkutano wa 39 wa Wakuu wa Nchi wa AU

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewasili katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Bole, Jij...