Tuesday, October 30, 2007

Hebu cheki hapa jumba limebomolewa


Kalikuwa kaugomvi kadogo pale Mbezi katika ya Miliki mmoja na mwingine, na hatimaye aliyewahi akajenda, kuona hivyo yule aliyechelewa akaona hakuwa na ujanja kwa maana hiyo akaamua kuibomoa nyumba ya mwenziua kwa kutumia tinga tinga la kukodi huku akijifanya kuwatumia maafisa wa usalama wa taifa. Cheki hasara washikaji msijenge maeneo unplanned.

No comments:

TANAPA YAZINDUA RASMI APP YAKE KUPANUA UTALII DUNIANI

Na. Calvin Katera - Mikumi Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA), limezindua rasmi Programu Tumizi "App" yake Leo Oktoba 0...