Tuesday, October 30, 2007

Hebu cheki hapa jumba limebomolewa


Kalikuwa kaugomvi kadogo pale Mbezi katika ya Miliki mmoja na mwingine, na hatimaye aliyewahi akajenda, kuona hivyo yule aliyechelewa akaona hakuwa na ujanja kwa maana hiyo akaamua kuibomoa nyumba ya mwenziua kwa kutumia tinga tinga la kukodi huku akijifanya kuwatumia maafisa wa usalama wa taifa. Cheki hasara washikaji msijenge maeneo unplanned.

No comments:

RAIS SAMIA ALETA FURAHA NA MATUMAINI BUSEGA, AFUNGUA MRADI MKUBWA WA KUKABILIANA NA MABADILIKO YA TABIANCHI

Shamrashamra za ufunguzi wa mradi wa Maji na Usafi wa Mazingira wa Lamadi, Wilayani Busega mkoani Simiyu tarehe 19 Juni, 2025 Rais wa Jamhur...