Monday, October 01, 2007

Air Tanzania

Mkurugenzi Mkuu wa ATCL, David Mataka ambaye amewezesha mabadiliko ya ATCL.

Dege lilikuwa hivi.

Sasa madege yote yatakuwa hivi.

2 comments:

Anonymous said...

naona wabongo wameanza kujajaruka na hawa wezi (investors) subirini sasa shirika la reli baada ya miaka 5 litakua kama atc halafu serikali itabidi lilichikue back na madeni kibao

Anonymous said...

ni kweli mzee inaonekana tumekuwa tukigawagawa tu mali zetu, haki ya nani tutajuta, dhahabu zimeondoka, almasi na kila kitu bado utu wetu tunaishi utumwani.

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...