Monday, October 01, 2007

Air Tanzania

Mkurugenzi Mkuu wa ATCL, David Mataka ambaye amewezesha mabadiliko ya ATCL.

Dege lilikuwa hivi.

Sasa madege yote yatakuwa hivi.

2 comments:

Anonymous said...

naona wabongo wameanza kujajaruka na hawa wezi (investors) subirini sasa shirika la reli baada ya miaka 5 litakua kama atc halafu serikali itabidi lilichikue back na madeni kibao

Anonymous said...

ni kweli mzee inaonekana tumekuwa tukigawagawa tu mali zetu, haki ya nani tutajuta, dhahabu zimeondoka, almasi na kila kitu bado utu wetu tunaishi utumwani.

WAZIRI RIDHIWANI KIKWETE AFUNGUA MKUTANO MKUU WA MWAKA WA CHAMA CHA WAAJIRI (ATE)

  Dar es Salaam, 18 Juni 2025 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mheshimiwa Ridhiwani J. Kikwete,...