Monday, October 01, 2007

Air Tanzania

Mkurugenzi Mkuu wa ATCL, David Mataka ambaye amewezesha mabadiliko ya ATCL.

Dege lilikuwa hivi.

Sasa madege yote yatakuwa hivi.

2 comments:

Anonymous said...

naona wabongo wameanza kujajaruka na hawa wezi (investors) subirini sasa shirika la reli baada ya miaka 5 litakua kama atc halafu serikali itabidi lilichikue back na madeni kibao

Anonymous said...

ni kweli mzee inaonekana tumekuwa tukigawagawa tu mali zetu, haki ya nani tutajuta, dhahabu zimeondoka, almasi na kila kitu bado utu wetu tunaishi utumwani.

NHC YATOA ELIMU YA HATI PACHA, YASISITIZA UMOJA WA WAMILIKI SAMIA HOUSING SCHEME KAWE

 Samia Housing Scheme Kawe: nyumba 560, familia tofauti zikiunganishwa na mtindo mmoja wa maisha ya  kisasa—ushirikiano, ustaarabu na “moder...