Monday, October 29, 2007

Safari ya mwisho ya Mbatia









Safari ya mwisho duniani ya Naibu waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Salome Mbatia ilivyohitimishwa katika makaburi ya Kanisa Katoliki Parokia ya Mbokomu na kuhudhuriwa na mamia ya waombolezaji. Picha kwa hisani ya ofisi ya Waziri Mkuu.

No comments: