Mzee wa Mshitu
Monday, October 29, 2007
Safari ya mwisho ya Mbatia
Safari ya mwisho duniani ya Naibu waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Salome Mbatia ilivyohitimishwa katika makaburi ya Kanisa Katoliki Parokia ya Mbokomu na kuhudhuriwa na mamia ya waombolezaji. Picha kwa hisani ya ofisi ya Waziri Mkuu.
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment