Monday, October 22, 2007

Chissano anyakua tuzo ya Mo Ibrahim


RAIS mstaafu wa Msumbiji Joaqium Chissano, amewabwaga Marais wengine 12 akiwemo Benjamin Mkapa wa Tanzania, katika kinyang'anyiro cha Tuzo ya Rais bora wa Afrika.

Ushindi wa Chissano umetangazwa mjini London jana na Katibu Mkuu mstaafu wa Umoja wa Mataifa (UN), Kofi Annan.

Tuzo hiyo ambayo imetolewa na Taasisi ya Mohamed Ibrahim, bilionea mzaliwa wa Sudan, msingi wake ni mambo matatu, Kukuza Demokrasi, Utawala Bora na Maendeleo katika nchi za Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara.

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...