
Makamu wa Rais Dk Alli Mohammed Shein ( wa pili kushoto) akishiriki futari aliyowaandalia wananchi wa Dar es Salaam nyumbani kwake Oysterbay jana. Wa kwanza kushoto ni Waziri Mkuu Edward Lowassa. Picha ya Ofisi ya Makamu wa Rais.
Dar es Salaam, 26 Machi 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , amekutana na kufanya mazungu...
3 comments:
sioni salads, mboga wala matunda hapo. Ina maana huyu naye pia hajui "health eating?" Kweli kazi ipo.
Lakini kuna juice ya matunda, hakuna kilichoharibika.
Aaahhh acha bwana mbona kuma maparachichi au maparachichi siyo matunda na je juice haina matunda ndani yake.
Post a Comment