
Makamu wa Rais Dk Alli Mohammed Shein ( wa pili kushoto) akishiriki futari aliyowaandalia wananchi wa Dar es Salaam nyumbani kwake Oysterbay jana. Wa kwanza kushoto ni Waziri Mkuu Edward Lowassa. Picha ya Ofisi ya Makamu wa Rais.
Na Mwandishi Wetu Paris, Ufaransa Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana, akiwa nchini Ufaransa jana Julai 8, 2025 amek...
3 comments:
sioni salads, mboga wala matunda hapo. Ina maana huyu naye pia hajui "health eating?" Kweli kazi ipo.
Lakini kuna juice ya matunda, hakuna kilichoharibika.
Aaahhh acha bwana mbona kuma maparachichi au maparachichi siyo matunda na je juice haina matunda ndani yake.
Post a Comment