Monday, October 22, 2007

Richard ayakaribia mamilioni ya BBA II

Mwakilishi Wetu katika jumba la Big Brother anaendelea kutesa tu na hii ni mara ya tano tangu wampendekeze kutoka, lakini wameshindwa richard bado amebakia ndani ya jumba la big brother na Code wa Malawi kuchomolewa bila shaka huenda huyu jamaa akanyakua dhawadi jamani hebu tuendeleeni kuwa-vote out washamba wengine ndani ya nyumba tubaki na Rich tuuuuu

habari kamili za kutolewa nishai kwa code Soma HAPA upate taarifa zaidi

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...