Monday, October 22, 2007

Richard ayakaribia mamilioni ya BBA II

Mwakilishi Wetu katika jumba la Big Brother anaendelea kutesa tu na hii ni mara ya tano tangu wampendekeze kutoka, lakini wameshindwa richard bado amebakia ndani ya jumba la big brother na Code wa Malawi kuchomolewa bila shaka huenda huyu jamaa akanyakua dhawadi jamani hebu tuendeleeni kuwa-vote out washamba wengine ndani ya nyumba tubaki na Rich tuuuuu

habari kamili za kutolewa nishai kwa code Soma HAPA upate taarifa zaidi

No comments:

MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR AMTEMBELEA MHE. FARIDA AMOUR MOH'D HOSPITALINI, AMTAKIA AFYA NJEMA

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Hemed Suleiman Abdulla , leo tarehe 21 Mei 2026 amemtembelea na kumjulia hali Mwakilishi wa Viti M...