Monday, October 22, 2007

Richard ayakaribia mamilioni ya BBA II

Mwakilishi Wetu katika jumba la Big Brother anaendelea kutesa tu na hii ni mara ya tano tangu wampendekeze kutoka, lakini wameshindwa richard bado amebakia ndani ya jumba la big brother na Code wa Malawi kuchomolewa bila shaka huenda huyu jamaa akanyakua dhawadi jamani hebu tuendeleeni kuwa-vote out washamba wengine ndani ya nyumba tubaki na Rich tuuuuu

habari kamili za kutolewa nishai kwa code Soma HAPA upate taarifa zaidi

No comments:

MAMA NEEMA MWIGULU AHIMIZA TAASISI KUUNGA MKONO JUHUDI ZA SERIKALI KUPITIA UWAJIBIKAJI KWA JAMII

Mwenza wa Waziri Mkuu, Mama Neema Mwigulu Nchemba, amehimiza taasisi za umma na binafsi kuendelea kuunga mkono juhudi za Serikali katika kub...