Friday, October 05, 2007

Jamani watoto wetu

Watoto wetu jamani, ajali ajali hebu cheki hapa wanavuka barabara bila usimamizi wowote hapa ilikuwa karibu kabisa na Ikulu, hawa ni watoto wa shule ya msingi Kigamboni walikutwa na Mdau Deus Mhagale.

No comments:

Makamu wa Rais Aongoza Salamu za Rambirambi kwa Kifo cha Jenista Mhagama, Ataja Taifa Kupata Pengo Kubwa

  #RIPJenistaMhagama #Tanzania #Ruvuma #Uongozi Dodoma – Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nch...