Friday, October 05, 2007

Jamani watoto wetu

Watoto wetu jamani, ajali ajali hebu cheki hapa wanavuka barabara bila usimamizi wowote hapa ilikuwa karibu kabisa na Ikulu, hawa ni watoto wa shule ya msingi Kigamboni walikutwa na Mdau Deus Mhagale.

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...