Friday, October 05, 2007

Jamani watoto wetu

Watoto wetu jamani, ajali ajali hebu cheki hapa wanavuka barabara bila usimamizi wowote hapa ilikuwa karibu kabisa na Ikulu, hawa ni watoto wa shule ya msingi Kigamboni walikutwa na Mdau Deus Mhagale.

No comments:

USIPIME KIWANJA UACHE PORI! DODOMA YAWAVAA WAMILIKI WALIOLEGEZA

Halmashauri ya Jiji la Dodoma imesema itafuta umiliki wa viwanja vyote ambavyo havijaendelezwa ndani ya muda uliowekwa kisheria, na kuvitwa...