Friday, October 26, 2007



Baadhi ya mawaziri wakiupokea jeneza lililobeba mwili wa hayati salome mbatia uwanja wa ndege wa julius nyerere dar, jana kufuatia ajali mbaya ya barabarani ambapo watu watatu walikufa papo hapo. habari toka iringa zinasema dereva wa lori la fuso lililoigonga nissan ya hayati mbatia hakufa na aliyekufa ni utingo wake. yeye dereva ametoweka na bado hajulikani aliko. Picha ya mpoki Bukuku. hebu mchekini HAPA ili mpate picha nyingi na kiboko zaidi.

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...