Friday, October 26, 2007



Baadhi ya mawaziri wakiupokea jeneza lililobeba mwili wa hayati salome mbatia uwanja wa ndege wa julius nyerere dar, jana kufuatia ajali mbaya ya barabarani ambapo watu watatu walikufa papo hapo. habari toka iringa zinasema dereva wa lori la fuso lililoigonga nissan ya hayati mbatia hakufa na aliyekufa ni utingo wake. yeye dereva ametoweka na bado hajulikani aliko. Picha ya mpoki Bukuku. hebu mchekini HAPA ili mpate picha nyingi na kiboko zaidi.

No comments: