Wednesday, October 10, 2007

Chuo Kikuu leo


Mazingira ya Chuo kikuu leo hapa ni maeneo ya pale utawala wadau mnasemaje.

3 comments:

Egidio Ndabagoye said...

Mazingira yanapendeza sana.Huwa mara nyingi nilipokuwa nafika kilimani hapo najihisi kama sipo Dasalama kwa kile kibariiidi kizuri.

sizinga said...

napapenda kweli hapo pahala

Chemi Che-Mponda said...

Panapendeza sana. Nakumbuka zamani kulikuwa na nyoka na ngedere kibao hapo. Hiyo bonde ilikuwa na Chatu pia.

Prof. Mfaransa Aja na Kitabu: Aiambia Dunia Kutalii Tanzania ni Tiba

Na Mwandishi Wetu Paris, Ufaransa Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana, akiwa nchini Ufaransa jana Julai 8, 2025 amek...